News

Tusiime yatia fora, yaongoza tena Dar Wanafunzi wote wapata daraja la kwanza na la pili. SHULE za Tusiime zilizopo Tabata jijini Dar es Salaam, zimeendelea kufanya vizuri katika matokeo ya kitaifa ya darasa la nne ambapo kwenye matokeo hayo imeongoza tena kwa Mkoa wa...

STANDARD FOUR NATIONAL ASSESSMENT (SFNA) – 2016 RESULTS

Tusiime yatia fora, yaongoza tena Dar Wanafunzi wote wapata daraja la kwanza na la pili. SHULE za Tusiime zilizopo Tabata jijini Dar es Salaam, zimeendelea kufanya vizuri katika matokeo ya kitaifa ya darasa la nne ambapo kwenye matokeo hayo imeongoza tena kwa Mkoa wa...

Matokeo Ya Form Two Katika matokeo ya kidato cha pili, yaliyotangazwa na Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA), shule ya Tusiime ikiwa na jumla ya wanafunzi 286 waliofanya mtihani wa kidato cha pili, wanafunzi 12 tu wamepata daraja la pili na wengine wote kupata...

FORM TWO NATIONAL ASSESSMENT (FTNA) 2016 RESULTS

Matokeo Ya Form Two Katika matokeo ya kidato cha pili, yaliyotangazwa na Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA), shule ya Tusiime ikiwa na jumla ya wanafunzi 286 waliofanya mtihani wa kidato cha pili, wanafunzi 12 tu wamepata daraja la pili na wengine wote kupata...

TUSIIME YAONGOZA TENA SHULE ya Msingi Tusiime ya Dar es Salaam, imeendeleza umwamba kielimu kwa kushika nafasi ya tano kitaifa ikiwa na wanafunzi wengi kuliko shule zote zilizoingia kumi bora kitaifa katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka huu ambapo ilikuwa na...

PSLE 2016 Examination Results – TUSIIME YAONGOZA KIWILAYA DARASA LA SABA

TUSIIME YAONGOZA TENA SHULE ya Msingi Tusiime ya Dar es Salaam, imeendeleza umwamba kielimu kwa kushika nafasi ya tano kitaifa ikiwa na wanafunzi wengi kuliko shule zote zilizoingia kumi bora kitaifa katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka huu ambapo ilikuwa na...

Tusiime watia fora ufaulu kidato cha pili ASILIMIA 99 ya wanafunzi wa shule ya sekondari Tusiime waliofanya mtihani wa kidato cha pili wamefaulu kwa daraja la juu yaani ufaulu uliojipambanua (Distinction). Akizungumzia matokeo hayo ofisini kwake, Mkuu wa shule hiyo, Emil Rugambwa alishukuru kwa...

FORM TWO NATIONAL ASSESSMENT (FTNA) 2015 RESULTS

Tusiime watia fora ufaulu kidato cha pili ASILIMIA 99 ya wanafunzi wa shule ya sekondari Tusiime waliofanya mtihani wa kidato cha pili wamefaulu kwa daraja la juu yaani ufaulu uliojipambanua (Distinction). Akizungumzia matokeo hayo ofisini kwake, Mkuu wa shule hiyo, Emil Rugambwa alishukuru kwa...

SHULE ya Msingi Tusiime imeubeba Mkoa wa Dar es Salaam tena na kuwa Mkoa wa kwanza kitaifa katika matokeo ya darasa la nne mwaka huu baada ya shule hiyo kuingia kumi bora kitaifa ikiwa na idadi kubwa ya wanafunzi ( 248) idadi ambayo ni...

SFNA 2015 ASSESSMENT RESULTS – PRIMARY 4

SHULE ya Msingi Tusiime imeubeba Mkoa wa Dar es Salaam tena na kuwa Mkoa wa kwanza kitaifa katika matokeo ya darasa la nne mwaka huu baada ya shule hiyo kuingia kumi bora kitaifa ikiwa na idadi kubwa ya wanafunzi ( 248) idadi ambayo ni...

Tusiime kinara wa matokeo ya mtihani darasa la saba katika wilaya ya Ilala Kwa mujibu ya matokeo yalitotangazwa na katibu mtendaji wa baraza la mitihani la taifa (NECTA),wanafunzi wote 198 wa shule ya tusiime waliofanya mtihani wa kumaliza la saba septemba mwaka huu, wamefaulu...

PSLE 2015 Examination Results – TUSIIME YAONGOZA KIWILAYA DARASA LA SABA

Tusiime kinara wa matokeo ya mtihani darasa la saba katika wilaya ya Ilala Kwa mujibu ya matokeo yalitotangazwa na katibu mtendaji wa baraza la mitihani la taifa (NECTA),wanafunzi wote 198 wa shule ya tusiime waliofanya mtihani wa kumaliza la saba septemba mwaka huu, wamefaulu...

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Tusiime kuhusu masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa ambapo wanafunzi hao walipata nafasi ya kumuuliza maswali na kuyajibu kabla hajafungua maabara ya sayansi na maktaba na...

Mh Membe atoa somo kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Tusiime

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Tusiime kuhusu masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa ambapo wanafunzi hao walipata nafasi ya kumuuliza maswali na kuyajibu kabla hajafungua maabara ya sayansi na maktaba na...