News

Tusiime kinara wa matokeo ya mtihani darasa la saba Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla 2013 Kwa mujibu ya matokeo yalitotangazwa na naibu katibu mtendaji wa baraza la mitihani la taifa (NECTA), Dr. Charles Msonde shule ya Tusiime imekua katika nafasi kama ifuatavyo,...

Tusiime kinara wa matokeo ya mtihani darasa la saba

Tusiime kinara wa matokeo ya mtihani darasa la saba Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla 2013 Kwa mujibu ya matokeo yalitotangazwa na naibu katibu mtendaji wa baraza la mitihani la taifa (NECTA), Dr. Charles Msonde shule ya Tusiime imekua katika nafasi kama ifuatavyo,...

Baada ya kuongoza kwa kutoa wanafunzi bora kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka jana, shule ya sekondari ya Tusiime iliyoko Tabata, Dar es salaam imeendelea kung’ara kutoa wanafunzi bora kitaifa katika mmatokeo ya kidato cha pili mwaka huu. Mwanafunzi wa shule hiyo...

Shule ya Tusiime Yangara Tena Kidato Cha Pili

Baada ya kuongoza kwa kutoa wanafunzi bora kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka jana, shule ya sekondari ya Tusiime iliyoko Tabata, Dar es salaam imeendelea kung’ara kutoa wanafunzi bora kitaifa katika mmatokeo ya kidato cha pili mwaka huu. Mwanafunzi wa shule hiyo...

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA CSEE 2012 EXAMINATION RESULTS S2499 TUSIIME SECONDARY SCHOOL DIV-I = 40 DIV-II = 65 DIV-III = 47 DIV-IV = 12 FLD = EXAMINATION CENTRE REGION – DAR ES SALAAM TOTAL PASSED CANDIDATES – 164 EXAMINATION CENTRE GPA – 2.9446 CENTRE CATEGORY – CENTRE WITH 40 CANDIDATES OR MORE CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)

CSEE 2012 Examination Results – FORM IV

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA CSEE 2012 EXAMINATION RESULTS S2499 TUSIIME SECONDARY SCHOOL DIV-I = 40 DIV-II = 65 DIV-III = 47 DIV-IV = 12 FLD = EXAMINATION CENTRE REGION – DAR ES SALAAM TOTAL PASSED CANDIDATES – 164 EXAMINATION CENTRE GPA – 2.9446 CENTRE CATEGORY – CENTRE WITH 40 CANDIDATES OR MORE CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)

MKOA wa Dar es Salaam umetangaza matokeo ya waliohitimu darasa la saba ya mwaka jana ambapo shule ya Tusiime ya Tabata jijini Dar es Salaam imeongoza kwa Mkoa wa Dar es Salam. Shule hiyo ndiyo imekuwa ikiongoza matokeo ya mkoa na wilaya ya Ilala...

Shule ya Tusiime Yangara Tena Darasa la Saba

MKOA wa Dar es Salaam umetangaza matokeo ya waliohitimu darasa la saba ya mwaka jana ambapo shule ya Tusiime ya Tabata jijini Dar es Salaam imeongoza kwa Mkoa wa Dar es Salam. Shule hiyo ndiyo imekuwa ikiongoza matokeo ya mkoa na wilaya ya Ilala...